Kerio (mto)
Kerio ni mto wa kaunti ya Turkana (zamani katika Bonde la Ufa) nchini Kenya.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3e/Kerio_Valley_Kenya.jpg/220px-Kerio_Valley_Kenya.jpg)
Chanzo chake kiko karibu na ikweta kwenye mitelemko ya ngome ya Elgeyo (Keiyo) kwenye kimo cha karibu mita 2,000.
Mto hufuata mwendo wake katika bonde la Kerio ambalo ni sehemu ya Bonde la Ufa kubwa. Mto huelekea kaskazini kati ya milima ya Elgeyo na milima ya Tugen ukipitia Marakwet na Pokot mashariki hadi kuishia katika Ziwa Turkana.
Kerio ni kati ya mito mirefu ya Kenya.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya