Kaunti ya Nandi
- Makala
- Majadiliano
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kaunti ya Nandi ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 885,711 katika eneo la km2 2,855.8, msongamano ukiwa hivyo wa watu 310 kwa kilometa mraba[1]. Wenyeji ni hasa wa kabila la Wanandi. Kaunti ya Nandi ni maarufu kwa kuwa nyumbani kwa wakimbiaji wengi, wakiwemo Kipchoge Keino, Henry Rono, Moses Tanui na Bernard Lagat.
Makao makuu yako Kapsabet.
Maumbile ya kaunti hii yanategemea Milima ya Nandi.
Kaunti ya Nandi ina maeneo bunge yafuatayo[2]: