Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaunti ya Homa Bay ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,131,950 katika eneo la km2 3,152.5, msongamano ukiwa hivyo wa watu 359 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Homa Bay.
Kaunti ya Homa Bay ina maeneo bunge yafuatayo:
Eneo bunge | Kata |
---|
Homa Bay Mjini | Homabay Central, Homabay Arujo, Homabay West, Homabay East |
Kabondo Kasipul | Kabondo East, Kabondo West, Kokwanyo/Kakel, Kojwach |
Karachuonyo | West Karachuonyo, North Karachuonyo, Kanyaluo, Central Karachuonyo, Kibiri, Wangchieng', Kendu Bay Town |
Kasipul | West Kasipul, South Kasipul, Central Kasipul, East Kamagak, West Kamagak |
Mbita | Mfangano Iskand, Rusinga Island, Kasgunga, Gembe, Lambwe |
Ndhiwa | Kwabwai, Kanyadoto, Kanyikela, Kabuoch South/Pala, Kanyamwa Kalogi, Kanyamwa Kosewe, Kabuoch North |
Rangwe | West Gem, East Gem, Kagan, Kochia |
Suba | Gwassi South, Gwassi North, Kaksingri West, Ruma-Kaksingri |
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [2]hariri chanzo
- Homa Bay 117,439
- Ndhiwa 218,136
- Rachuonyo North 178,686
- Rachuonyo East 121,822
- Rachuonyo South 130,814
- Rangwe 117,732
- Suba North 124,938
- Suba South 122,383