Juni
mwezi wa sita katika mwaka
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Mwezi wa Juni ni mwezi wa sita katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na jina la mungu wa Warumi Juno.
Tarehe 21 ya mwezi huo wa Juni (katika miaka mingine inawezekana kuwa tarehe 20 au 22) ni siku ya solistasi ya Kaskazini (kutoka Kiingereza solstice), yaani wakati jua linapokuwa kaskazini kabisa mwa Ikweta.
Juni ina siku 30, na hakuna mwezi mwingine unaoanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Juni katika mwaka uleule.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia