Jumuia ndogondogo za Kikristo
Jumuiya ndogondogo za Kikristo ni jumuia maalumu za Wakristo wa Kanisa Katoliki zilizoanzishwa na Mabaraza ya Maaskofu ya Tanzania na nchi nyingine, hasa za Afrika Mashariki, ili kutekeleza upendo katika maisha ya kila siku mitaani[1].
Katika jumuia hizo waamini wanakutana ili kusoma Neno la Mungu na kusali pamoja na kushirikiana katika kukabili changamoto za mazingira yao[2].
Kufikia mwaka 2001 kulikuwa na jumuia zaidi ya 180,000 katika nchi tisa za AMECEA[3]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Small Christian Communities, pp. 97-109.
- Basic Ecclesial Communities: Adelaide's 'new model of church'.
- Committee on Basic Ecclesial Communities of the Catholic Bishops' Conference of the Philippines. Archived 18 Mei 2021 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jumuia ndogondogo za Kikristo kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia