Ismaïl Aissati
Ismaïl Aissati (alizaliwa 16 Agosti 1988) ni mchezaji wa soka wa Moroko ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Uturuki, Denizlispor[1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0a/Ismail_Aissati.jpg/220px-Ismail_Aissati.jpg)
Ushiriki Katika Klabu
PSVIsmaïl Alizaliwa Utrecht kwa wazazi wa Moroko, Aissati alianza kucheza soka akiwa na umri mdogo akiwa amejiunga na klabu ya DSO Utrecht na USV Elinkwijk kabla ya kujiunga na klabu ya PSV Eindhoven mwaka wa 2000 alipokuwa na umri wa miaka kumi na mbili baada ya kuchunguzwa kushuka kitaaluma kwa klabu hyo mwaka wa 2005.[2]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/44/PSVtraining.jpg/220px-PSVtraining.jpg)
Ushiriki Kimataifa
Awali Aissanti aliwakilisha ligi ya Uholanzi U15, Uholanzi U16 na Uholanzi U17. Alikuwa sehemu ya timu iliyoshinda Mashindano ya Soka ya UEFA ya Vijana ya U-21 ya 2006. [3]
Heshima
PSV[4]
- Eredivisie: 2005–06, 2007–08
Ajax
- Eredivisie: 2011–12
- Kombe la KNVB: 2009–10
Marejeo
Viungo Vya Nje
- Ismaïl Aissati katika National-Football-Teams.com
![]() | Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ismaïl Aissati kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia