Iliriko
Iliriko ni jina la zamani la eneo la Ulaya Kusini Mashariki lililokaliwa na makabila ya Wailiria.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/19/Illyrian_Tribes_%28English%29.svg/220px-Illyrian_Tribes_%28English%29.svg.png)
Dola la Roma liliteka eneo hilo mwaka 168 KK na kulifanya mkoa wake hadi mwaka 10.
Mtume Paulo alieneza uinjilishaji wake hadi huko.
Wakati wa Napoleon Bonaparte kwa miaka michache (1809-1813) jina lilitumika kwa mkoa wa Dola la Ufaransa, halafu kulikuwa na Ufalme wa Iliriko chini ya Dola la Austria (1816-1849).
Siku hizi eneo hilo limegawanyika kati ya nchi mbalimbali, hasa Albania, Montenegro, Bosnia-Herzegovina, Serbia, Croatia na Slovenia.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia