Hifadhi ya Taifa ya Nouabalé-Ndoki
Hifadhi ya Taifa ya Nouabalé-Ndoki ni mbuga ya taifa katika Jamhuri ya Kongo . Ilianzishwa mwaka1993, katika mikoa ya kaskazini mwa Kongo, ni makazi kwa tembo wa misituni, nyani wakubwa, ikiwa ni pamoja na sokwe wa nyanda za magharibi.
Hifadhi ina aina nyingi za viumbe hai 300 za ndege, pamoja na aina 1,000 za mimea na miti ambayo ni pamoja na mahogani walio hatarini kutoweka. [1] [2] [3]
Marejeo
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Nouabalé-Ndoki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia