Grafiti ya Aleksameno
grafiti
Grafiti ya Alexamenos (pia inajulikana kama grafiti ya kukufuru)[1] ni kipande cha grafiti ya Kirumi kilichochorwa kwenye plasta kwenye ukuta wa chumba karibu na Kilima cha Palatine huko Roma, Italia, ambacho sasa kimeondolewa na kiko katika Jumba la Makumbusho la Palatino.[2]
Mara nyingi huitwa picha ya kwanza kabisa ya Yesu. Ni vigumu kulipangia tarehe kamili, lakini inakadiriwa kuwa lilichorwa karibu na mwaka wa 200 BK.[[3] Picha hiyo inaonekana kuonyesha kijana akimwabudu kiumbe aliyesulubiwa mwenye kichwa cha punda. Maandishi ya Kigiriki yanatafsiriwa takriban kuwa "Aleksameno anamwabudu [mungu wake],"[4] ikionyesha kuwa grafiti hiyo ilikusudiwa kumdhihaki Mkristo aitwaye Alexamenos.[5]
Marejeo
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Grafiti ya Aleksameno kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia