Gangolfi
- Makala
- Majadiliano
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Gangolfi (alifariki Avallon, Yonne, leo nchini Ufaransa, 11 Mei 760) alikuwa kabaila wa Burgundy[1] maarufu kwa imani na uadilifu hadi alipouawa na hawara wa mke wake[2].
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Mei[3].
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |