Frutuoso wa Braga
Frutuoso wa Braga (alifariki Braga, Ureno, 16 Aprili 665[1]) alikuwa mkaapweke wa Hispania, halafu abati[2], askofu wa Dumio na hatimaye askofu mkuu wa Braga[3] aliyeanzisha na kuzipa kanuni zake monasteri mbalimbali alizoendelea kuziongoza hata baada ya kupewa uaskofu [2][4].
Alizoea kuvaa kifukara kiasi kwamba alidhaniwa ni mtumwa, hata kupigwa bila sababu.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Thompson, E.A. The Goths in Spain. Clarendon Press: Oxford, 1969.
- Iberian Fathers. Writings of Braulio of Saragossa, Fructuosus of Braga, translated by Claude W. Barlow Catholic University of America Press (1969).
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia