Frankfurt (maana)
ukarasa wa maana wa Wikimedia
Frankfurt ni jina la miji miwili mikubwa nchini Ujerumani. Kwa kusudi la kuitofautisha mara nyingi hutajwa pamoja na mto iliyoko:
- Frankfurt am Main ni mji mkubwa zaidi kati ya Frankfurt mbili iko kando la mto Main katika magharibi ya Ujerumani.
Frankfurt ni pia jina la vijiji viwili na ilikuwa jina la maeneo ya kihistoria katika Ujerumani.
Kwa umbo la "Frankfort" au "Frankford" jina lapatikana katika Amerika ya Kaskazini. Lataja miji iliyoundwa na wahamiaji kutoka Ujerumani.
Maana asilia ya mto yanataja mambo mawili: "Frank" ni jina la kabila ya Kigermanik ya Kale ya "Wafranki". "furt" (kiing.: "ford") ni sehemu ya kupita mto pasipo maji yenye kina kikubwa.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya