Fereoli na Ferusi
Fereoli na Ferusi (kwa Kifaransa: Ferréol et Ferjeux; walifariki Besancon, leo nchini Ufaransa, 212 hivi) walikuwa padri na shemasi waliotumwa na Irenei wa Lyon kuinjilisha eneo la Besancon[1][2].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/77/Saint_Ferr%C3%A9ol.jpg/220px-Saint_Ferr%C3%A9ol.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Saint_Ferjeux.jpg/220px-Saint_Ferjeux.jpg)
Baada ya miaka 30 ya kazi hiyo yenye mafanikio makubwa, waliuawa katika dhuluma wa kaisari wa Dola la Roma dhidi ya Wakristo[3][4].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint Ferréol et Saint Fargeau (Kifaransa)
- Diocèse de Besançon (Kifaransa)
- Santi Ferreolo e Ferruccio from Santi Beati (Kiitalia)
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia