Fedele wa Como
- Makala
- Majadiliano
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Fedele wa Como (alifariki Sorico, karne ya 3) anakumbukwa kama mmisionari wa kwanza wa Como (Italia Kaskazini), alipotumwa na Materno wa Milano baada ya kuingizwa naye katika Ukristo[1].
Katika juhudi za kueneza dini hiyo aliuawa katika dhuluma ya Dola la Roma[2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Oktoba[3].
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |