Farah Khan
Farah Khan Kunder (amezaliwa tar. 9 Januari 1965)[1] ni mwongozaji wa filamu na mwanakoregrafia kutoka nchini India. Anafahamika zaidi kwa kazi zake za kikoregrafia katika filamu kadha wa kadha za Bollywood. Khan amefanya kazi za koregrafia kwenye zaidi ya nyimbo mia moja katika filamu za Kihindi zaidi ya 80. Khan tangu hapo ameanza kutambulika kama mwongozaji wa filamu za Kihindi vilevile. Kwa namna nyingine, Khan amefanyakazi hata miradi ya kimataifa ikiwa ni pamoja na Marigold: An Adventure in India, Monsoon Wedding na filamu ya Kihindi ya Perhaps Love.
Farah Khan | |
---|---|
Farah Khan at the 4PS Advertising & Marketing Award | |
Amezaliwa | Farah Khan 9 Januari 1965 India |
Kazi yake | Mwanakoreografia, Mwongozaji wa filamu, Mtangazaji wa TV |
Ndoa | Shirish Kunder (2004-hadi sasa) |
Watoto | Czar, Diva, Anya |
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya Nje
![]() | Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Farah Khan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya