Ermengild

Ermengild (pia: Hermenegildo, kutoka Kigoti Airmana-gild; alifariki Hispalis, Hispania, 585 hivi) alikuwa mwanamfalme aliyeongokea Ukatoliki kwa juhudi za Leandri wa Sevilla.

Ushindi wa Mt. Ermengild kadiri ya Francisco Herrera the Younger (1654).

Hatimaye aliuawa kwa shoka kwa ajili ya imani yake kwa amri ya Leovigild, baba yake, mfuasi wa Ario, ambaye alimtaka siku ya Pasaka mwanae apokee ekaristi kutoka kwa askofu mzushi[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 13 Aprili[3].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.