Ermengild
Ermengild (pia: Hermenegildo, kutoka Kigoti Airmana-gild; alifariki Hispalis, Hispania, 585 hivi) alikuwa mwanamfalme aliyeongokea Ukatoliki kwa juhudi za Leandri wa Sevilla.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Triunfo_de_san_hermenegildo_herrera_el_joven.jpeg/220px-Triunfo_de_san_hermenegildo_herrera_el_joven.jpeg)
Hatimaye aliuawa kwa shoka kwa ajili ya imani yake kwa amri ya Leovigild, baba yake, mfuasi wa Ario, ambaye alimtaka siku ya Pasaka mwanae apokee ekaristi kutoka kwa askofu mzushi[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Walsh, Michael, mhr. (1991). Butler's Lives of the Saints: Concise Edition, Revised and Updated. San Francisco: Harper. ISBN 0-06-069299-5.
- Innes, Matthew (2007). Introduction to Early Medieval Europe, 300-900. The sword, the plough and the book. Routledge. uk. 552. ISBN 978-0-203-64491-1.
Viungo vya nje
- Lives of the Saints: April 13 St. Hermenegild, Martyr
- Saint Hermenegild engraved by L. Beck, from De Verda collection
- Saint Hermenegild, Martyr at the Christian Iconography web site
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia