Dhul Hijjah (mwezi)
Dhu- Hijjah (kwa Kiarabu: ذو الحجة) ni mwezi wa kumi na mbili pia mwezi wa mwisho katika kalenda ya Kiislamu.
Katika maisha ya kidini ni mwezi mtakatifu. Ni mwisho wa mwaka wa Kiislamu pia mwezi wa kuhiji kwenda Makka.
Mwezi huo Waislamu wa nchi zote hukutana hasa Makka kwenye Hajj. Matendo makuu ya Hajj hutokea tarehe 8, 9 na 10 za mwezi huo.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia