Daniel Ortega
Jose Daniel Ortega Saavedra (amezaliwa 11 Novemba 1945) ni mwanasiasa wa Nikaragua. Ni rais wa Nikaragua tokea mwaka 2007[1]. Pia alitumikia kama rais kuanzia mwaka 1979 mpaka 1990. Mnamo Novemba 2021, Daniel Ortega, alichaguliwa tena kwa muhula wa nne wa miaka mitano na 75% ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyotolewa na Baraza Kuu la Uchaguzi.
Daniel Ortega | |
Aliingia ofisini 10 Januari 2007 | |
Makamu wa Rais | Jaime Morales Carazo Omar Halleslevens |
---|---|
Muda wa Utawala 10 Januari 1985 – 25 Aprili 1990 | |
Makamu wa Rais | Sergio Ramírez Mercado |
aliyemfuata | Violeta Chamorro |
Muda wa Utawala 18 Julai 1979 – 10 Januari 1985 | |
mtangulizi | Francisco Urcuyo (Rais wa mpito) |
aliyemfuata | Yeye mwenyewe(Rais) |
tarehe ya kuzaliwa | 11 Novemba 1945 La Libertad, Nicaragua |
jina ya kuzaliwa | José Daniel Ortega Saavedra |
chama | Sandinista National Liberation Front |
ndoa | Rosario Murillo (1979–hadi sasa) |
dini | Romani katoliki |
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia