Castries
Castries ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Saint Lucia katika Bahari ya Karibi.
![]() Castries na bandari yake | |
Utawala | Tarafa ya Castries ("Quarter of Castries") |
Historia | imeundwa 1650 |
Anwani ya kijiografia | Latitudo: 14°1′N Longitudo: 60°59′W |
Kimo | 15 m juu ya UB |
Eneo | ? km² |
Wakazi | - mji: 11,200 (2005) |
Msongamano wa watu | watu ? kwa km² |
Simu | +1246 (nchi yote) |
Mahali | |
![]() ![]() |
Mji uliundwa na Wafaransa mnamo 1650 na jina limetokana na tarafa ya Castries huko Ufaransa.
Lugha zinazogumzwa mjini ni hasa aina ya Kifaransa pamoja na Kiingereza ambacho ni lugha rasmi.
Mji unatembelewa na meli za kitalii.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Castries kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia