Castries

Castries ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Saint Lucia katika Bahari ya Karibi.

Castries

Castries na bandari yake
Habari za kimsingi
UtawalaTarafa ya Castries ("Quarter of Castries")
Historiaimeundwa 1650
Anwani ya kijiografiaLatitudo: 14°1′N
Longitudo: 60°59′W
Kimo15 m juu ya UB
Eneo? km²
Wakazi- mji: 11,200 (2005)
Msongamano wa watuwatu ? kwa km²
Simu+1246 (nchi yote)
Mahali

Mji uliundwa na Wafaransa mnamo 1650 na jina limetokana na tarafa ya Castries huko Ufaransa.

Lugha zinazogumzwa mjini ni hasa aina ya Kifaransa pamoja na Kiingereza ambacho ni lugha rasmi.

Mji unatembelewa na meli za kitalii.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Castries kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.