Boubekeur Belbekri
Boubekeur Belbekri (alizalliwa 7 Januari 1942) alikuwa mchezaji wa soka nchini Algeria ambaye alicheza kama mlinzi.
Maisha Na Kazi
Belbekri maisha mwake alicheza akiwa na klabu ya USM Alger kwa miaka 11, ambapo alishinda taji moja mnamo 1963 na mara tano mfululizo hadi fainali ya Kombe la Algeria na ingawa hakuna nambari rasmi lakini ni mmoja wa wachezaji waliocheza michezo mingi na USM Alger akicheza zaidi ya mechi 350.KimataifaBelbekri alicheza michezo minne pekee na timu ya taifa,mchezo wa kwanza dhidi ya Bulgaria katika mchezo wa kwanza rasmi kwenye historia ya Algeria na alishiriki kama mchezaji wa akiba.
Heshima
Klabu
Viungo vya nje
- Boubekeur Belbekri katika National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Boubekeur Belbekri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia