Botvidi
Botvidi (kwa Kiswidi: Botvid; Södermanland, Uswidi, karne ya 10 – Södermanland, 1120) alikuwa mfanyabiashara ambaye, aliposafiri hadi Uingereza kwa biashara yake, aliongokea Ukristo[1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/12/St_Botvid%2C_formerly_in_Orkesta_Church%2C_Sweden.jpg/200px-St_Botvid%2C_formerly_in_Orkesta_Church%2C_Sweden.jpg)
Baadaye alitumwa na askofu Sifredi, pamoja na Daudi wa Uswidi[2] na Eskil wa Tuna[3], kama mmisionari nchini kwao akaendelea hadi alipouawa na Mfini ambaye alikuwa kwanza mtumwa na ambaye Botvidi alikuwa amemkomboa, amemfundisha dini na kumbatiza[4].
Tazama pia
Tanbihi
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya