Baba
Baba ni mwanamume aliyemzaa mtoto au anamlea.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3b/Father_and_child%2C_Dhaka.jpg/220px-Father_and_child%2C_Dhaka.jpg)
Katika uzazi, baba ndiye anayesababisha jinsia ya mtoto kwa kumrithisha kromosomu Y (mtoto wa kiume) au kromosomu X tu (mtoto wa kike).
Saikolojia inaonyesha pia umuhimu wa kuwepo kwa baba mwenye pendo, akishirikiana na mama, katika kukua kwa mtoto.
Viungo vya nje
- Marcia C. Inhorn, Wendy Chavkin, and Jose-Alberto Navarro, eds. Globalized Fatherhood by (Berghahn Books; 2014) 419 pages; studies by anthropologists, sociologists, and cultural geographers -
- M.J. Diamond (2007) My Father Before Me; How Fathers and Sons Influence Each Other Throughout Their Lives. New York: WW Norton.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia