Augustino Zhao Rong
Augustino Zhao Rong (Wuchuan, 1746 hivi - Chengdu, Majira ya kuchipua 1815) alikuwa padri wa China ambaye alifungwa na hatimaye kuuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo nchini mwake.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a7/Saint_Augustine_Tchao.png/220px-Saint_Augustine_Tchao.png)
Kabla ya kuongokea dini hiyo alikuwa askari.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu tarehe 1 Oktoba 2000 pamoja na wengine 119[1].
Tazama pia
Tanbihi
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia