Anna Line
Anna Line (1563 hivi – 27 Februari 1601) alikuwa mwanamke Mwingereza aliyebadilisha imani yake ya dini kutoka Ushirika wa Anglikana kuingia Kanisa Katoliki.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9a/St_Anne_Line.jpg/160px-St_Anne_Line.jpg)
Kwa vile aliwaficha mapadri nyumbani mwake na kuhudhuria Misa zao, alipelekwa mahakamani na kuuawa kwa kunyongwa[1].
Mwaka 1929 alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenyeheri na mwaka 1970 alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya