Andrea Ojeda
Andrea Ojeda (alizaliwa 17 Januari 1985) ni mwanasoka wa nchini Argentina ambae anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya wanawake ya Boca juniors na timu ya taifa ya wanawake ya Argentina. Andrea aliwahi kuchezea klabu ya wanawake ya Fundación Albacete na Granada CF huko Uhispania.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c9/ANDREA_OJEDA.jpg/220px-ANDREA_OJEDA.jpg)
Marejeo
![]() | Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Andrea Ojeda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia