Alama za Amani
Idadi kadhaa ya Alama za Amani zimetumika kwa njia tofauti kwenye tamaduni mbalimbali na muktadha. Njiwa na Tawi la mizeituni ilitumika kama alama kwa wakristo wa awali na badae kutumika kama ya kidunia, ikitangazwa na Dove lithograph na Pablo Picasso baada ya vita ya pili ya dunia. Mwaka 1950 “ alama ya Amani” kama inavyojulikana sasa kama ( Amani na upendo) ilitengenezwa na Gerald Holtom kama nembo ya kampeni ya Uingereza ya kupunguza silaha za nyuklia (cnd).[1]
Marejeo
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia