Akasi wa Melitene
Akasi wa Melitene (370 hivi - 438 hivi) alikuwa askofu wa Melitene, Armenia ya Kale, leo Malatya, nchini Uturuki, kuanzia mwaka 430 hivi hadi alipofukuzwa kwa kupinga uzushi wa Nestori[1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/cc/Acathius_of_Melitene.jpeg/220px-Acathius_of_Melitene.jpeg)
Alishiriki mtaguso wa Efeso (431).
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- J. Card. Hergenröther: Acacius. In: Kirchenlexikon. 2. Auflage, Band 1, Sp. 145 f., Freiburg 1882.
- Winrich Löhr: Akakios v. Melitene. In: Lexikon für Theologie und Kirche. 3. Auflage, Band 1, Sp. 286, Freiburg 1993.
- Hugo Rahner: Akakios, Bischof v. Melitene. In: Lexikon für Theologie und Kirche. 2. Auflage, Band 1, Sp. 235, Freiburg 1957.
- Alexios G. Savvides, Benjamin Hendrickx (Hrsg.): Encyclopaedic Prosopographical Lexicon of Byzantine History and Civilization. Bd. 1: Aaron – Azarethes. Brepols Publishers, Turnhout 2007, ISBN 978-2-503-52303-3, S. 104.
Viungo vya nje
- (Kijerumani) https://web.archive.org/web/20070406063447/http://www.bautz.de/bbkl/a/acacius_v_m.shtml
- (Kiingereza) http://www.holytrinityorthodox.com/calendar/los/April/17-02.htm
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya