1 Desemba
tarehe
Nov - Desemba - Jan | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 1 Desemba ni siku ya 335 ya mwaka (ya 336 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 30.
Matukio
Waliozaliwa
- 1925 - Martin Rodbell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1994
- 1951 - Jaco Pastorius, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1973 - Lombardo Boyar, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1981 - Khamis Mussa, mwigizaji na mwanamuziki kutoka Tanzania
- 1982 - Diego Cavalieri, mchezaji mpira kutoka Brazil
Waliofariki
- 1433 - Go-Komatsu, mfalme mkuu wa Japani (1392-1412)
- 1521 - Papa Leo X
- 2007 - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu nabii Nahumu, Kastrisiani, Ajeriki, Eliji wa Noyon, Edmundi Campion, Rudolf Sherwin, Aleksanda Briant, Charles de Foucauld n.k.
Viungo vya nje
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 1 Desemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia