1956
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1952 |1953 |1954 |1955 |1956| 1957| 1958| 1959| 1960| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1956 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 3 Januari - Mel Gibson, mwigizaji wa filamu kutoka Australia
- 6 Januari - Elizabeth Strout, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Januari - John Lydon, mwanamuziki kutoka Uingereza
- 9 Februari - Chenjerai Hove, mwandishi kutoka Zimbabwe
- 19 Februari - Roderick MacKinnon, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2003
- 28 Februari - Lloyd Sherr, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Machi - Theodoros Kontidis, askofu Mkatoliki kutoka Ugiriki
- 22 Aprili - Monica Ngenzi Mbega, mwanasiasa wa Tanzania
- 5 Mei - Jay Rosen, mwandishi Mmarekani
- 17 Mei - Annise Parker, mwanasiasa wa Marekani
- 25 Mei - Rajab Hamad Juma, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 3 Juni - Severine Niwemugizi, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 12 Julai - Wilson Mutagaywa Masilingi, mwanasiasa wa Tanzania
- 15 Julai - Chacha Zakayo Wangwe, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Julai - Michael George Mabuga Msonganzila, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 13 Agosti - Koffi Olomide, mwimbaji wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 15 Agosti - Daniel Nicodemus Nsanzugwako, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Oktoba - Mae Jemison, mwanaanga kutoka Marekani
- 10 Novemba - Sinbad, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 24 Novemba - Terry Lewis, mwanamuziki kutoka Marekani
- 19 Desemba - Jens Fink-Jensen, mwandishi Mdenmark
Waliofariki
- 10 Februari - Leonora Speyer, mshairi wa kike kutoka Marekani
- 18 Machi - Louis Bromfield, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Aprili - Alben Barkley, Kaimu Rais wa Marekani
- 22 Septemba - Frederick Soddy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1921
- 14 Oktoba - Owen Davis, mwandishi kutoka Marekani
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia