1947
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| ►
◄◄ |◄ |1943 |1944 |1945 |1946 |1947| 1948| 1949| 1950| 1951| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1947 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 15 Januari - Martin Chalfie, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008
- 29 Januari - Linda Buck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2004
- 4 Februari - Dan Quayle, Kaimu Rais wa Marekani
- 12 Machi - Mitt Romney, mwanasiasa kutoka Marekani
- 25 Machi - Elton John, mwanamuziki kutoka Uingereza
- 26 Machi - Subhash Kak, mwanafizikia na mwandishi kutoka Uhindi
- 5 Aprili - Gloria Arroyo, Rais wa Ufilipino
- 13 Aprili - Rae Armantrout, mshairi kutoka Marekani
- 18 Aprili - James Woods, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 24 Aprili - Roger Kornberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2006
- 28 Aprili - William Shija, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 8 Mei - Robert Horvitz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2002
- 9 Mei - Michael Levitt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2013
- 8 Juni - Eric Wieschaus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1995
- 20 Julai - Gerd Binnig, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986
- 30 Julai - Françoise Barré-Sinoussi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2008
- 31 Julai - Richard Griffiths, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 7 Agosti - Sofia Rotaru, mwimbaji wa Urusi
- 3 Septemba - Kjell Magne Bondevik, Waziri mkuu wa Norwei (1997-2000; 2001-2005)
- 8 Septemba - Amos Biwott, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Kenya
- 20 Septemba - Juma Jamaldin Akukweti, mwanasiasa wa Tanzania
- 1 Oktoba - Aaron Ciechanover, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
- 3 Oktoba - Feetham Filipo Banyikwa, mwanasiasa wa Tanzania
- 26 Oktoba - Hillary Clinton, Seneta wa jimbo la New York, Marekani
- 13 Novemba - Joe Mantegna, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 8 Desemba - Thomas Cech, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1989
bila tarehe
- Remmy Ongala, mwanamuziki wa Tanzania
- William Shija, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
- 12 Aprili - Louis Leipoldt, mwandishi wa Afrika Kusini
- 24 Aprili - Willa Cather, mwandishi kutoka Marekani
- 16 Mei - Frederick Hopkins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1929
- 20 Mei - Philipp Lenard, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905
- 24 Septemba - Andrew C. McLaughlin, mwanahistoria kutoka Marekani
- 4 Oktoba - Max Planck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1918
- 7 Desemba - Nicholas Butler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia