1930
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| ►
◄◄ |◄ |1926 |1927 |1928 |1929 |1930| 1931| 1932| 1933| 1934| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1930 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 23 Januari - Derek Walcott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1992
- 28 Februari - Aage Bohr, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975
- 28 Februari - Leon Cooper, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1972
- 9 Machi - Ornette Coleman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 15 Machi - Martin Karplus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 2013
- 24 Machi - David Dacko, Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
- 24 Machi - Steve McQueen, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Machi - Jerome Friedman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990
- 3 Aprili - Helmut Kohl, Waziri Mkuu wa Ujerumani (1982-1998)
- 8 Mei - Gary Snyder, mshairi kutoka Marekani
- 12 Mei - Mazisi Kunene, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 31 Mei - Clint Eastwood, mwigizaji, mwongozaji na mwandaaji wa filamu kutoka Marekani
- 27 Juni - Ross Perot, mfanyabiashara na mwanasiasa kutoka Marekani
- 28 Juni - William Campbell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2015)
- 3 Julai - Tommy Tedesco, mwanamuziki kutoka Marekani
- 5 Agosti - Neil Armstrong, rubani mwanaanga kutoka Marekani
- 15 Agosti - Tom Mboya, mwanasiasa wa Kenya
- 25 Agosti - Sean Connery, mwigizaji filamu kutoka Uskoti
- 25 Agosti - Magnus Mwalunyungu, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 12 Septemba - Akira Suzuki, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2010
- 10 Oktoba - Harold Pinter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 2005
- 10 Oktoba - Yves Chauvin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2005
- 14 Oktoba - Mobutu Sese Seko, Rais wa nchi ya Zaire
- 24 Oktoba - Jack Angel, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 16 Novemba - Chinua Achebe, mwandishi Mnigeria
- 29 Novemba - David Goldblatt, mpigapicha wa Afrika Kusini
- 30 Desemba - Tu Youyou, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2015
bila tarehe
- Paulo Ahyi, msanii aliyeunda bendera ya Togo
- Raymond Mwanyika, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
Waliofariki
- 8 Machi - William Howard Taft, Rais wa Marekani (1909-13)
- 21 Machi - Claude H. Van Tyne, mwanahistoria kutoka Marekani
- 2 Aprili - Zauditu, Malkia mtawala wa Uhabeshi
- 1 Mei - Mtakatifu Rikardo Pampuri, O.H., daktari na bradha
- 13 Mei - Fridtjof Nansen, mpelelezi na mwanasiasa Mnorwei na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1922
- 28 Julai - Allvar Gullstrand, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1911
- 5 Novemba - Christiaan Eijkman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1929
- 13 Desemba - Fritz Pregl, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1923
bila tarehe
- Justin Harvey Smith, mwanahistoria kutoka Marekani
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya