Pai (herufi)

(Elekezwa kutoka Π)

Pai ni herufi ya kumi na sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama Π (herufi kubwa cha mwanzo) au π (herufi ndogo ya kawaida). Pai ni asili ya herufi ya P katika alfabeti ya Kilatini.

Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa1Ν ν Ni50
Β β Beta2Ξ ξ Ksi60
Γ γ Gamma3Ο ο Omikron70
Δ δ Delta4Π π Pi80
Ε ε Epsilon5Ρ ρ Rho100
Ζ ζ Dzeta7Σ σ ς Sigma200
Η η Eta8Τ τ Tau300
Θ θ Theta9Υ υ Ipsilon400
Ι ι Iota10Φ φ Phi500
Κ κ Kappa20Χ χ Khi600
Λλ Lambda30Ψ ψ Psi700
Μ μ Mi40Ω ω Omega800
Herufi za kihistoria1
Digamma6 San90
Stigma6 Sho90
Heta8 Koppa90
Sampi900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Katika Ugiriki ya Kale ilihesabiwa pia kama tarakimu kwa namba "80".

Katika elimu ya hisabati herufi pai inatumiwa kutaja namba pai ambayo ni namba ya duara.