Fridesvida
- Makala
- Majadiliano
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Fridesvida (jina asili: Frithuswith, pia: Frevisse, Fris, n.k.; 650 hivi - Binsey, 727) alikuwa binti wa mfalme mdogo nchini Uingereza[1]. Alianzisha monasteri dabo huko Oxford[2] akaiongoza kama abesi[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Oktoba[4].
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |